(L-R) Militan, Guzman and Smady Tingz of Mbogi Genje
(L-R) Militan, Guzman and Militan of Mbogi Genje
(L-R) Militan, Guzman and Smady Tingz of Mbogi Genje

Mbogi Genje is a hardcore Gengetone group from the Umoja neighborhood (3560) in Nairobi.

The group is made up of three members; Smady Tingz, Guzman (real name Teddy) and Militan.

Mbogi Genje shot to fame in late 2019 with the release of a music video for Ngumi Mbwegze, a grimy hit Gengetone single that introduced them to the mainstream.

The trio grew up together in the same neighborhood and were friends long before the fame. Before Ngumi Mbwegze, Mbogi Genje was already in the studio and had released a number of songs.

At the time, their style was more geared towards the Dancehall genre.

Ngumi Mbwegze, sheng' for two fists, was released in September 2019 and was Mbogi Genje's first hit. Ngumi Mbwegze was their take on the Kovu challenge started by Wakadinali's Scar, in which different artists flowed over the same beat.

It featured heavy Sheng' lyrics and flows on drugs and crime. Their style was noticeably different from most Gengetone songs which, at the time, were themed around partying and sex.

Ngumi Mbwegze quickly became a viral sensation setting the stage for the group's success.

Sheng' Dictionary

With their singles including Kidungi, Mangwariti, Wamocho and Ikijipa, Mbogi Genje cut a niche for themselves with their use of deep Sheng'.

Sheng' is slang used by urban youth in Kenya.

Here are some of the common Sheng' words popularized by Mbogi Genje and their translations.

Mbogi - Crew

Genje - Bad

Muok - Come

Riambez - Girls

Nauwo - Know

Mangwariti - Marijuana

Matiki - Nike sneakers and apparel

Zing - Guy

Mrazi - A stupid person

Rengwa - Morning

Riang' - Plan

Shashola - High-grade marijuana

Banja - Talk

Bugda - Die

Dibla - Blood

Jamo - One

Mbwegze - Two

Uwaganis - Nonsense

Chun Li - Cheap Liquor

Mrota - Ditch

Mochoka/Monchoka - Emerge

Digi - See

Beef With Madocho Wa Kanairo

Mbogi Genje found themselves in a spat with several youth from Nairobi's Riverbank area (Gotta City) in Embakasi East constituency.

The drama began with an interview in which Youtuber Mungai Eve asked the youth to share their thoughts on the group.

Rapper Stupid Boy lambasted the group, and accused them of stealing his lyrics. Videos later surfaced of Mbogi Genje members freestyling alongside Stupid Boy.

Others such as tatoo artist Madocho wa Kanairo questioned how the group was supporting youth in their neighborhood.

In a Direct Message (DM), Mbogi Genje's Guzman insulted Mungai Eve after the interview and slammed the youth, further escalating the beef.

Madocho wa Kanairo, in response, tore into the group in a vicious Sheng' rant that quickly went viral.

Mbogi Genje's Smady Tingz later posted what was perceived as an indirect reference to Madocho and Stupid Boy, writing on Instagram; "Hao marazi wanabanja ni wanigri".

A line from his song Bloody War, the caption can be translated to mean that the haters are irrelevant.

On Wednesday, November 25, the beef spilled over into the streets as Madocho confronted Mbogi Genje's Militan and Guzman.

The confrontation took place at video director Slamboozer's place in Nairobi.

The almost-fght attracted a large crowd, with Militan taking time to try and calm down tensions.

He argued that the beef had been started by the group from Gota City, even as Madocho demanded to see Guzman.

https://www.youtube.com/watch?v=cR3uS80gq-8&t=168s

Madocho, Stoopid Boy, Liyetin and Pingo later released a music video for 'Ngumi ni Jamo' (One fist) in a clear reference to Mbogi Genje who popularized 'Ngumi Mbwegze' (two fists).

Endorsements

Having established themselves among the top artists in the country, Mbogi Genje secured their first endorsement deal in 2020.

While financial details of the deal remain undisclosed, it was announced that the group would serve as brand ambassadors for Ruai Family Hospital's new rehabilitation centre.

The hospital noted that they chose Mbogi Genje due to their unique connection with the youth.

RFH's Dr. Maxwell Okoth noted in October that the partnership would aid in combatting drug and substance abuse among youth.

“We are opening a drug and rehabilitation center and we have identified Mbogi genje as best to work with because of their rapport with the youth,” he explained.

The group also met Nairobi Governor Mike Sonko who pledged to support them. Sonko gifted the group a Macbook Pro, Ksh200,000 and an assurance of support for their future projects.

Mansion

In November, a video surfaced of Mbogi Genje's Guzman taking fans on a tour of a new mansion.

Guzman claimed that Mbogi Genje was set to move into the luxurious space in one of Nairobi's upmarket neighborhoods, fueling media speculation on the group's moves.

Songs

Kidungi

Kamkoba ft. VDJ Jones

Ikijipa ft. Rix Roro and Dede Tarshian

Bloody War ft. Seska (Ethic), Dullah

Kuja Mbaya ft. Exray

Wamocho ft. Richy Haniel, Mejja

A weh di gyal - ft. Seska (Ethic)

34 GVNG - Mwangwariti ft. Mbogi Genje

Full Degree

Lyrics

Ngumi Mbwegze Lyrics

[Intro: Smady Tingz]
Smady Tingz
Ah wah do dem
Ah bie baga waganis
Eh, whatcha know

[Chorus: Smady Tingz]
Mbogi Genje, si ndio Mbogi Genje
Tunasaka picha ya Kenyatta kwa walenje (Kwa walenje)
Mbogi Genje, si ndio Mbogi Genje
Tunataka sura ya Kenyatta kwa walenje (Kwa walenje)
Mbogi Genje, si ndio Mbogi Genje
Tunataka picha ya Kenyatta kwa walenje (Kwa walenje)
Mbogi Genje, si ndio Mbogi Genje
Tunataka sura ya Kenyatta kwa walenje (Kwa walenje)

[Verse 1: Smady Tingz]
Show mrazi pigwa rwai
Niko kwa warosho, najinyuria na mangwai
Si ndio Mbogi Genje, sikusicheki walai
Ikifika biz, ni warazi tunachai
Yo, sitambui bloody fucking
Niko hustling, nifike njati ya cafling
Niko jabling, nashikisha tu na wabling
Med ziko peak juu sinanga time ya idling
Yo, look safi, ni manganya nasetoka
Mawikendi, mashashola na mogoka
Mtatii Mbogi Genje ikimochoka (Mtatii)
Ati sisi ndio kunyamba ka itoka
[Chorus: Smady Tingz]
Mbogi Genje, si ndio Mbogi Genje
Tunasaka picha ya Kenyatta kwa walenje (Kwa walenje)
Mbogi Genje, si ndio Mbogi Genje
Tunataka sura ya Kenyatta kwa walenje (Kwa walenje)
Mbogi Genje, si ndio Mbogi Genje
Tunataka picha ya Kenyatta kwa walenje (Kwa walenje)
Mbogi Genje, si ndio Mbogi Genje
Tunataka sura ya Kenyatta kwa walenje (Kwa walenje)

[Verse 2: Guzman]
Juu si waras, yaani tukienda bash (Ras)
Tunaseti shash, tuna-tunaseti shada (Shada)
Tunatafash mpaka wanadai ni hush (Hush)
Na si waresh wame-pin kwenye bash (Mbogi)
Juu ni makeki, ni mangeus ndio watatoa cash (Aii)
Na wakitoa cash, nazundua shash
Tunaseti hadi zitu-catch
Na zikishika sana, piga ata ngasha
Na ukitupa staple, mi ndio nitaku-catch (Catch)
Vidole zangu sticky, ni kama nitaku-pinch
Juu niko mboka, man, acha nitaku-link
Usi-tense, usiogope, nitaku-link (Oh)

[Chorus: Smady Tingz]
Mbogi Genje, si ndio Mbogi Genje
Tunasaka picha ya Kenyatta kwa walenje (Kwa walenje)
Mbogi Genje, si ndio Mbogi Genje
Tunataka sura ya Kenyatta kwa walenje (Kwa walenje)
Mbogi Genje, si ndio Mbogi Genje
Tunataka picha ya Kenyatta kwa walenje (Kwa walenje)
Mbogi Genje, si ndio Mbogi Genje
Tunataka sura ya Kenyatta kwa walenje (Kwa walenje)
[Verse 3: Militan]
Tukimuok warazi wanabuya
Govana, wakidigi ni lagunya (Militan)
Dong'a gota nikuliet mashashola
Senke ikiriet ni kihuti
Kuwachai, kuwakata tukizied
Smady, Militan kuwabugda (Bugda)
Wakimuok, hatunauwo kusafisha (Hatunawuo)
Wakimuok, hatunauwo kusafisha

[Outro: Smady Tingz]
Mbogi Genje, si ndio Mbogi Genje
Tunataka kichwa ya Kenyatta kwa walenje
Mbogi Genje, si ndio Mbogi Genje
Tunasaka picha ya Kenyatta kwa walenje
Mbogi Genje, si ndio Mbogi Genje
Tunataka kichwa ya Kenyatta kwa walenje

Kuja Mbaya Lyrics

[Intro: Exray and Guzman]
(Hitman ting, hitman ting)
(Badman ting, badman ting)
Eh (Mbogi Genje)
Taniua, eh
Eh, ayaya
Ati, ay

[Verse 1: Exray]
Ni juu ya mzing saa hii niko ching-ching
Lugha ya kimambo hadi niko jing-jing
Nimenyanya, niko dim-dim
King king, matululu ting-ting
Ah di badman, niko ping-ping
Wesh ako futi sita, husikii juu ya dikwara
Kabla nikuchai, nikupeleke na mtara
Gwala gwala, zied, dala dala
Gala gala wote watakudara
RIP Vasco, husikii inna di rush
Moment of silence, tuwashie shash
Juzi walimuok na ati leo wamepasha

[Chorus: Guzman and Smady Tingz]
Kuja mbaya nikugeuze mboga (Mboga)
Na nimebonda vile niko mogoka (Niko)
Machingri bado zinacheza kwa mongo
Nitakucheza mbaya ukizidi kutafash (Tafash)
Tuko nzakwa, wako shomwi (Tuko nzakwa)
Na mambogi wako mamoshi (Mambogi)
Tuko nzakwa, wako shomwi (Tuko nzakwa)
Na mariambez wako mamoshi (Stand up for the riambez)

[Verse 2: Smady Tingz]
Luku diriba, toja imenyoa kungira (Ngira)
Alele, leo kuserekwa pira (Wako pira)
Na machaji leo tuko maondira
Makang'ethe ni manduki za mafila
Shashola ndio siezi ishi bila
Kaki-dim nakiliet na warena (Na warena)
Wakichuom nawavutia mbegega (Mbegega)
Round hii, itabidi wameteveva (Wameteveva)

[Chorus: Guzman and Smady Tingz]
Kuja mbaya nikugeuze mboga (Mboga)
Na nimebonda vile niko mogoka (Niko)
Machingri bado zinacheza kwa mongo
Nitakucheza mbaya ukizidi kutafash (Tafash)
Tuko nzakwa, wako shomwi (Tuko nzakwa)
Na mambogi wako mamoshi (Mambogi)
Tuko nzakwa, wako shomwi (Tuko nzakwa)
Na mariambez wako mamoshi

[Verse 3: Guzman]
Mi hukamilisha, zangu mafisa (Safi)
Slippery, wanalia niko ma-grease
Niko full tank, we ongeza pace
Hii mtamase tumechaja na ni venye niko ganja
Mi ndio ndonga, ule mrui
Na mgenje guji tena sana
Kuwakaza ndio mboka kila giz-giz
Mi m-hard kaa Fuliza, we Okoa
Guz na mahedi ziko kwa kebi (Guzu)
Niko rampage za wikendi
Kaa ni box, we huzama bila expense
Alualala Lupita, usizundishie team
[Chorus: Guzman and Smady Tingz]
Kuja mbaya nikugeuze mboga (Mboga)
Na nimebonda vile niko mogoka (Niko)
Machingri bado zinacheza kwa mongo
Nitakucheza mbaya ukizidi kutafash (Tafash)
Tuko nzakwa, wako shomwi (Tuko nzakwa)
Na mambogi wako mamoshi (Mambogi)
Tuko nzakwa, wako shomwi (Tuko nzakwa)
Na mariambez wako mamoshi

[Verse 4: Militan]
Kwa sinting, wacha tifla na maefla
Wamemokre, kwa mashedi ni mafozi (Fozi)
Kidale, yao wabling na mandunya
Mang'oi, kuwakata na manyoi
Wafisa, kujibambisha na roko (Roko)
Ma-TBN, mi huwatekesa maombling (Ombling)
Makweng'a wakiriau magekenge
[?], ma-ghetto yout wanasofa
Kwa Jah Jah, ried tings ni mogatha
Jaba yu ni topa tings, magekenge (Gekenge)

[Verse 5: Exray]
Uh, sina mbogi Jeri ju wote walikang'wa
Far East, morio anzenza alimangwa
Nitam-face mamu wako akini-diss
Ess wa dii hadi yeye alitii, ati
Geng geng zako, vako, beng shit
Keng keng, wakiritho, masid
Ked Ked, doba na makali
Nganya huko area ni Safari Rally

Bloody War Lyrics

[Chorus: Seska]
Bloody scene, ma-reporter wahepe
Kaa ni scene, ma-revolver, ma-AK
Baki scene, kawe gwangi ama senke
Hapa gwangi atabakisha masenke
Ama gwangi atabakishwa na senke
Hapa gwangi atabakisha masenke
Ama gwangi atabakishwa na senke
Hapa gwangi atabakisha masenke

[Verse 1: Dullah]
Mauru ni mahuru, ye atabakika mahuru
Na wa huku hutumia dumba na madawa kama dudu
Kaa ni vita, utabaki bila ukapi na marungu
Hapa issue sitaki, unaweza vunjwa, bloody nugu
Pia ma-misuse sitaki, jua exile tuko huku
Bila morio, bila ndugu, utaweza? Utafaulu?
Kila mtu ana virusi hadi ma-pastor wanajishuku
Hapa hakunanga mapenzi, jo, mapenzi haiezi dumu
Na nakunauwo, nakudigi, gotea morio, chaji, zigi
Ye huzi-roll bila zigi, buda riang', kaa makini
Kunywa thiang' kama mbili, buda riang', huna akili
Huwezi burn kaa nare, huweza run kaa mkale
Kisu, kisu haichagui koma, koma cocker haichagui kisu, kisu
Kisu haichagui koma, koma cocker haichagui kisu, kisu
Kisu haichagui koma, koma cocker haichagui kisu, kisu
Unambao na unadai ku-buy Kibao nusu
[Chorus: Seska]
Bloody scene, ma-reporter wahepe
Kaa ni scene, ma-revolver, ma-AK
Baki scene, kawe gwangi ama senke
Hapa gwangi atabakisha masenke
Ama gwangi atabakishwa na senke
Hapa gwangi atabakisha masenke
Ama gwangi atabakishwa na senke
Hapa gwangi atabakisha masenke

[Verse 2: Smady Tingz]
Yeah
Zama choche ya machingri na makidri
Hawa marezi wanabanja ni wanigri
Nafufua ile ilengi wanazibri
Rengwa wako Chiromo kwa njifri
Mi hupenda kuzi-cock kama koki
Kama mbaya basi tunabaki mbogi
Uko tifla, umebugda kwa rodi
Na madibla zimetapakaa kwa rodhi
Morio ngori anasimamia njiste
Kaa ni ngeso, mi huzungusha na Diffre
Kaa ni asset, kuzipeleka moriste
Kaa ni Baley, mi hubwagishanga ticre
Tuko frontde m-G, tumejibeba
Tuko stroko kila giz kujibeba
Kaa ni shake, si hulima hizi ndepa
Hizi shang' ndio husababisha rieba
Niko ndoso, nawazama tu mambosho
Ni kunare, walidhani ni kunyozo
Zimeshika kaa simiti na kokoto
Kuwateki kwa warosho kimangoto (gunshot)
[Chorus: Seska]
Bloody scene, ma-reporter wahepe
Kaa ni scene, ma-revolver, ma-AK
Baki scene, kawe gwangi ama senke
Hapa gwangi atabakisha masenke
Ama gwangi atabakishwa na senke
Hapa gwangi atabakisha masenke
Ama gwangi atabakishwa na senke
Hapa gwangi atabakisha masenke

[Verse 3: Seska]
Kifo haichagui kaa umeokoka, haichagui kabila
Haichagui kaa umeomoka, haichagui kama wewe hukaa bila
We ni simba, blunder umekam, sina itoka na bilaa
Achanga ufike shang', halafu upate mi ndio guntila
Achanga ukabila, si ni watumwa, tuliacha mila
Medi wa miraa, huwezi nipata mi bila silaha
Bangi na miraa, bangi na, bangi na miraa
Bangi na silaha, kuna vitu siwezi kaa bila

[Outro: Seska]
Bloody scene, ma-reporter wahepe
Kaa ni scene, ma-revolver, ma-AK
Baki scene, kawe gwangi ama senke
Hapa gwangi atabakisha masenke
Masenke
Masenke
Masenke
Hapa gwangi atabakisha masenke

Wamocho Lyrics

[Intro: Smady Tingz]
(Solinga!)
Nawabugda za kivulai
Bongo, Moscow, ithaa ni July
Nawabugda za kivulai
Mbogi Genje
(SQ on the beat)

[Chorus: Smady Tingz]
Genje streets, si unajua ni kuwamocho
Ni kirao, naraukia kuwamocho
Wamocho, riang ni kuwamocho
Wamocho, riang ni kuwamocho
Genje streets, si unajua ni kuwamocho
Ni kirao, naraukia kuwamocho
Wamocho, riang ni kuwamocho
Wamocho, riang ni kuwamocho

[Verse 1: Smady Tingz]
Niko gwethe, niko zanabe, kana-kanashi
Nimepandisia mbanati juu ni nganyare
Kuna vile nimekanafi, nimebanashi
Mboto ni [?], juu niko na ki-shh
Saa ubaya nikinjanamo, ati renangwa
Makang'ethe nawandanasu juu niko masii
Malego na mnganazii, sosi na Mercy
Nawateki hadi wanatiii
Zikiwamocho, kang'a mpaka wanjivo
Mbogi yake ni ku-patch kama wagido
(Zikiwamocho, kang'a mpaka wanjivo)
(Mbogi yake ni ku-patch kama wagido)
[Chorus: Smady Tingz and Guzman]
Genje streets, si unajua ni kuwamocho (Ni kuwamocho)
Ni kirao, naraukia kuwamocho (Ni kuwamocho)
Wamocho, riang ni kuwamocho (Ni kuwamocho)
Wamocho, riang ni kuwamocho (Wamocho)
Genje streets, si unajua ni kuwamocho (Ni kuwamocho)
Ni kirao, naraukia kuwamocho (Ni kuwamocho)
Wamocho, riang ni kuwamocho (Ni kuwamocho)
Wamocho, riang ni kuwamocho (Wamocho)

[Verse 2: Guzman]
Niko masongi, we tegea niji-mess
Na kunywaku, mi hurieng kuji-bless
Leo ngware, mi nastaga na aref
Kaa ibada, watazama ziki-arrest
Kwa ma-realer, mi nazi-releasе
Juu huwaga mi husema yut walini-breeze
Uwe rasclaat, chaji ki-smart
Niki-run [?] nakuwanga shida na
Za punya mi husakanga kwa giz
Toa chok ukizidingi kabisa
Dirty, mi siwеzi float, mi hu-go deeper
(Kuwamocho, Mbogi ni kuwamocho)

[Chorus: Smady Tingz and Guzman]
Genje streets, si unajua ni kuwamocho (Ni kuwamocho)
Ni kirao, naraukia kuwamocho (Ni kuwamocho)
Wamocho, riang ni kuwamocho (Ni kuwamocho)
Wamocho, riang ni kuwamocho (Wamocho)
Genje streets, si unajua ni kuwamocho (Ni kuwamocho)
Ni kirao, naraukia kuwamocho (Ni kuwamocho)
Wamocho, riang ni kuwamocho (Ni kuwamocho)
Wamocho, riang ni kuwamocho (Wamocho)
[Verse 3: Mejja]
Yeah, yeah
Yeah
Mbuku jo, nimekula mbuku jo
System jo, imeninyima kazi jo
Degree yangu ni urembo jo
Mbogi jo, inataka dishi jo
Inabidi tuwateke, wamocho
Tupate za machwara, wamocho
Utanipata zabe, kanashi
Kuja na maini, si mabati
Nikichora vile nitateka tu wathii
Niite mkulima na mimea
Mkurugenzi wa kujipulizia
Kuwamocho ndio riba

[Chorus: Smady Tingz and Guzman]
Genje streets, si unajua ni kuwamocho (Ni kuwamocho)
Ni kirao, naraukia kuwamocho (Ni kuwamocho)
Wamocho, riang ni kuwamocho (Ni kuwamocho)
Wamocho, riang ni kuwamocho (Wamocho)
Genje streets, si unajua ni kuwamocho (Ni kuwamocho)
Ni kirao, naraukia kuwamocho (Ni kuwamocho)
Wamocho, riang ni kuwamocho (Ni kuwamocho)
Wamocho, riang ni kuwamocho (Wamocho)
[Verse 4: Militan]
Racho bila nginyo ni kurianyu
Wolabed na 21 kaa rura
Wairuwa, kujirianyu na makugling
Mongrel, Moscow za kigangfa
Wavecro, daila ngyai ni warena
Ubra, wola yut tuko MG
Dormplay, machweng'a kila rengwa
Mbatco, ngwara, chude ngenje
Chimling, nawafling ka Aladdin
Wedepo, tuko depo wakiwamocho
Kianjete nauwo bree tukibambuka
Rakitić, kuwadalo wakiwamocho

[Chorus: Smady Tingz and Guzman]
Genje streets, si unajua ni kuwamocho (Ni kuwamocho)
Ni kirao, naraukia kuwamocho (Ni kuwamocho)
Wamocho, riang ni kuwamocho (Ni kuwamocho)
Wamocho, riang ni kuwamocho (Wamocho)
Genje streets, si unajua ni kuwamocho (Ni kuwamocho)
Ni kirao, naraukia kuwamocho (Ni kuwamocho)
Wamocho, riang ni kuwamocho (Ni kuwamocho)
Wamocho, riang ni kuwamocho (Wamocho)

[Outro]
(Byron baby)

Ikijipa Lyrics

[Intro: Smady Tingz]
Unaweza zitoka zikingwata (Zikingwata)
Time ulipo, utanipata pon di gutter (Pon di gutter)
Mashashola zimewaka, ni mogatha na
Zikikubamba unaweza chain mamorata

[Chorus: Dede Tarshian]
Bum-bum digi, bum-bum, chiki-chaa (Chiki-chaa)
Puff-puff nikijam-jam, shikisha (Shikisha)
Bum-bum digi, bum-bum, bum (Bum)
Puff-puff niki-jam-jam, jam
Form ikijipa hakunauwo kulalisha (Kulalisha)
Zikishika, hakunauwo kusafisha (Kusafisha)
Kakimuok, kananauwo kuthigithwa
Haya bas, mbuyu, hakunauwo kulalisha

[Verse 1: Smady Tingz]
(Smady Tingz)
Headbad toka nikuwe m-less
Kaa ni tapo mi hu-patch, utadhani NFS (NFS)
Nilichorea mangem, tupatane mambadeng (Mambadeng)
Mashashola ndio vitu tu kwa mind na-finesse (Na-finesse)
Diang'a songi nazipiga shifla
Na kikoro, njamu, mboka na kichizla
Tunatesa, na wakoba ni waafisa
Kuwashwisa, riang ficha, riang fitsa
Tuko na shang, niko na gang
Na mariambez wamemuok, wanadai kuzi-burn
Zilipuke kaa vile zinalipuka Iran (Sss!)
Si huzi-burn, hatu-mind warazi waking'am (Waking'am)
[Chorus: Dede Tarshian]
Bum-bum digi, bum-bum, chiki-chaa (Chiki-chaa)
Puff-puff nikijam-jam, shikisha (Shikisha)
Bum-bum digi, bum-bum, bum (Bum)
Puff-puff niki-jam-jam, jam
Form ikijipa hakunauwo kulalisha (Kulalisha)
Zikishika, hakunauwo kusafisha (Kusafisha)
Kakimuok, kananauwo kuthigithwa
Haya bas, mbuyu, hakunauwo kulalisha

[Verse 2: Rix Roro]
Tuko na projo inafaa kuwa mbele
Mbogi Genje kuchachisha, sio meme
Mtoto m-wide kama River Kamene
Naipiga mpaka analia, tuko matembe
Ngoko tanga-tanga kama mende
Akwende, anajiona amemea pembe

[Verse 3: Guzman]
Guzman ndio mwenye wanamwika (Guz)
Na warosho zote wananiwinda (Wanasaka)
Watanauwo Mbogi Genje cha lazima (Watanauwo)
Leta mambo, uone ukipangwa (Eh-heh)
Rusha diss, tuwache unajishuku (Eh-heh)
Kam na mambo, si huwaka kama nare
[Chorus: Dede Tarshian]
Bum-bum digi, bum-bum, chiki-chaa (Chiki-chaa)
Puff-puff nikijam-jam, shikisha (Shikisha)
Bum-bum digi, bum-bum, bum (Bum)
Puff-puff niki-jam-jam, jam
Form ikijipa hakunauwo kulalisha (Kulalisha)
Zikishika, hakunauwo kusafisha (Kusafisha)
Kakimuok, kananauwo kuthigithwa
Haya bas, mbuyu, hakunauwo kulalisha

[Verse 4: Militan]
Mi hu-vibe tu, ni kaa niko malego
Mbogi-lise inarieng tu, ni machweng'a
Mausgan zimeliet, ni olipa
Gwethe ya mathao ya salopa
Tuko nditni, ni masiwa tu kwa pori
Na machaji wamekwaria mamokish
Kuwadungiz, kuwabambisha na shedi
Na mahaijin wameriet kaa warena
Tuko tifin, kila rima ni ma-rasclaat
Kuwadoshwe kwa warena
Dabo genje, mi hupiga kama Roro, kama gwethe
Haunauwo safisha, hatunauwo waganis

[Chorus: Dede Tarshian]
Bum-bum digi, bum-bum, chiki-chaa (Chiki-chaa)
Puff-puff nikijam-jam, shikisha (Shikisha)
Bum-bum digi, bum-bum, bum (Bum)
Puff-puff niki-jam-jam, jam
Form ikijipa hakunauwo kulalisha (Kulalisha)
Zikishika, hakunauwo kusafisha (Kusafisha)
Kakimuok, kananauwo kuthigithwa
Haya bas, mbuyu, hakunauwo kulalisha
[Outro: Smady Tingz]
VK Master, bie gangster
Ah wah do Slambo? Dem care an do
Ah wah do Jamie? Yu no fi see me

Kamkoba Lyrics

[Intro: Smady Tingz]
(VDJ Jones)
Mbogi Genje, Kamkoba (Genje ni mbwaya)
Kamkoba (Genje ni mbwaya)
(Mavo on the Beat)

[Hook: Smady Tingz]
Kamkoba usikaweke (Usikaweke)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Kamkoba usikaweke (Usikaweke)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)

[Verse 1: Smady Tingz]
Kamsupa na kathombotha (Kathombotha)
Zilishika akavua hadi toja (Hadi toja)
Nazigonga anadai akingoja
Nazigonga anadai, "Sitaki moja" (Sitaki moja)
Mi ndio Roro, namba saba
Mi hufunga dude zote hadi gwatha (Hadi gwatha)
Akajibamba, akatupa hadi rubber (Hadi rubber)
Tukimada atapiga msalaba (Msalaba)
Mi hukawia nikidandia
Na nikikam through utanikumbatia
Na nikikam through utanikumbatia
Na nikikam through utanikumbatia
[Hook: Smady Tingz]
Kamkoba usikaweke (Usikaweke)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Kamkoba usikaweke (Usikaweke)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)

[Verse 2: Guzman]
Digi ayiela, amenibamba (Bamba)
Na kuzied hio mkoba, amenimada (Ha-ha)
Na akizama, walai, amejing'ora
Kakijipa, itabaki kamewika (Ai)
Kumanga uchi, uijazilie kut-kut (Kutu)
Aki, walai, ni lazima apige nduru
Chini ya waba, mchezo ni ya wanga
Utani-like, mi ni super striker (Striker)
Nai-kill, utawika mbaya
Hii ni dudu, utawika mbaya
Utashinda ukiniita mbaya
(Na mi nitaitika mbaya!)

[Hook: Smady Tingz]
Kamkoba usikaweke (Usikaweke)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Kamkoba usikaweke (Usikaweke)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
[Verse 3: Militan]
Na-realise mi hukwaria zireu
Dangulo, nimezunda ka wa mbwegze
Umojing, kwa wazing, Militan kuwa-sting kama bee
Wako steam, niko biz, Mr Chingri
Rima zote kuwariet, wanabaki na matiash
Ni kutiaf, kujichapa, kuwatoka tuna-hype
Kuwa-mash up, kuwanyam, [?] zime-time
Mbogi Genge to di top, kuwashikisha na uras
Nawatepa na machieng
Niko riang, niko rieng, utanipata Umojeng
Nawatepa na machieng, utanipata Umojeng
Nawatepa na machieng, na-nawatepa na machieng

[Hook: Smady Tingz]
Kamkoba usikaweke (Usikaweke)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Kamkoba usikaweke (Usikaweke)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Kamkoba usikaweke (Usikaweke)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Ku-perform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
[Outro]
(Mavo on the Beat)